Nahitaji gari aina ya noah isizidi million 6.7

Nahitaji gari aina ya noah isizidi million 6.7

jasiri shayo

Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
35
Reaction score
10
Nahitaji gari ya aina ya Noah ambayo ni used hapa nchini. Iwe na sifa hzi
* Iwe katka hali nzuri ndani ya gari, kwenye injin na gear box. aidi.
Nina utalaamu na uzoefu wa kutosha ano zaidi. na nje iwe na muonekano mzuri.
* Iwe haijwahi kupata ajali.
* sitaki dalali
* Isiwe na mgogoro na mtu au kikundi cha watu au serikali
* Iwe na vibali halali vya umiliki na hati za malipo au kodi anuai.
Mawasiliano zaidi 0765075183
Asante
 
Unapenda wepesi eeeh!!
Utapata ambalo kila dk 1 linazima...utazijua "garage" zote mjini
 
noah 6.7? nakupa pole sasa hvi kabla hujalipata
 
Ukilipata nunua ki-nokia tochi uitumie ku-save namba za mafundi gereji tu maana mbongo akikuuzia kwa bei hiyo ujue amefunga na kuomba akushushie janga
 
Back
Top Bottom