I incharge JF-Expert Member Joined Jan 19, 2011 Posts 5,829 Reaction score 9,772 May 24, 2013 #1 Naomba msaada mwenye kumfahamu fundi ujenzi muaminifu na mtaalam kwenye fani ya ujenzi, vizuri akawa anaishi maeneo ya kimara au mbezi au maeneo jirani na hapo, msaada tafadhali
Naomba msaada mwenye kumfahamu fundi ujenzi muaminifu na mtaalam kwenye fani ya ujenzi, vizuri akawa anaishi maeneo ya kimara au mbezi au maeneo jirani na hapo, msaada tafadhali
hoffman JF-Expert Member Joined Jul 21, 2011 Posts 310 Reaction score 484 May 24, 2013 #2 nimekuPM mkuu!
J JET86 New Member Joined May 20, 2013 Posts 3 Reaction score 0 May 24, 2013 #3 use that no. 0754016650
AMAFUMU JF-Expert Member Joined Oct 12, 2011 Posts 221 Reaction score 114 Jun 5, 2013 #4 call 0714 227532....!kwa kazi nzuri na uaminifu wa 100%
hekimatele JF-Expert Member Joined May 31, 2011 Posts 9,889 Reaction score 2,805 Jun 6, 2013 #5 nna imani mpaka hapo ushapata msaada wa kutosha. Labda to be specific ungesema ni ujenzi wa aina gani una plan kuufanya? na maeneo gani
nna imani mpaka hapo ushapata msaada wa kutosha. Labda to be specific ungesema ni ujenzi wa aina gani una plan kuufanya? na maeneo gani