Nahitaji Friji ya mtumba

Nahitaji Friji ya mtumba

Mu7

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2013
Posts
1,635
Reaction score
1,951
Nina friji ya mtumba, nikiiunganisha kwenye umeme inafanya kazi vizuri ila umeme ukiyumba kidogo tu au ukikatika na kurudi hapo hapo inazimika na haiwaki tena mpaka baada ya muda mrefu.

Hii ni kawaida au ni hitilafu ya kiufundi?
 
Umecheki kama compressor ipo sawa?
Unatumia stabilizer?
Angalia mfumo mzima wa umeme wa hiyo fridge.
 
Muuzaji kasema friji ni nzima na hiyo ni kawaida kwa friji zote za mitumba kutoka nchi za Ulaya ila nina kawaida ya kutowaamini wauzaji. Isipozimika inapoA vizuri. Kanishauri nitumie stabilizer. Kwa stabilizer umeme ukishake haizimiki ila ukikatika na kurudi inazimika kabisa. Nini hii??
 
Tafuta stabilizer maana inawezekana mfumo wa umeme wa nyumba unayokaa unatatizo so stablizer muhimu
 
Ni kawaida kwa compressor za German umeme ukishtuka ikiwa hot inazima na haiwezi kuwaka mpaka ipoe kabisa almost 45 min. Hilo si ubovu bali ni mfumo wake wa kuilinda ila kwa usalama wa fridge yako nakushauri nunua fridgeguard inauzwa kuanzia 25,000/= usiamini stabilizer hazina msaada sana kwa umeme wa fridge.
 
Back
Top Bottom