Habar wakuu,
nahtaj fridge ya kawaida tu ya kutumia ,iwe ndogo..budget yangu ni 100,000/=Tsh..mwenye kuuza kwa bei hyo aweke contact zake,ama ani pm.niko dar.
Ninayo kubwa two doors,nilikua naitumia home kwa sasa nahamia mkoa.Nipo salasala,Wazo zamani Kunduchi
Bei 250,000
0754856277