Nahitaji Cresta gx90 ama Corolla e100 used, bei isizidi 2.5 mil

Nahitaji Cresta gx90 ama Corolla e100 used, bei isizidi 2.5 mil

kilanio

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
221
Reaction score
69
habar wakuu,nahtaj gar tajwa moja wapo hapo juu ,alienayo na anauza ani pm leo tumalize biashara kama tutaafikiana.
 
kuna corolla 111 milion 3.5 manual.. haina shida. njoo na fundi wako akague
 
Kuna toyota caldina automatic, ila ni 4.5M, njoo na fund, haina tatizo lolote na vibali vyote valid
 
Hii ndio biashara ya kiume,tit for taaaaaaaattttt

Jamaa ameamua kuchagua roho za paka tupuuuu.
Hataki mambo ya Mark X wala Mark Masaki
 
Km upo serious ni pm ni cresta gx90 hapa mbeya iko haina tatizo hata moja 3.5mil
 
Hapa mbeya pia IPO Mitsubishi lancer.... 1999 Auto ....anaye hitaji nipm tutete...ni sh 3.5
 
Kuna jamaa anahitaji gari ndogo yenye namba B au C isizidi milion 4 anahitaji gari haraka na cash ninayo mimi.
Hiyo gari iwepo Dar.
Mwenye nayo ani pm tufanye biashara
 
Hiyo Mitsubishi lancer bora uichinje naona imegoma kuuzika..
 
Hiyo Mitsubishi lancer bora uichinje naona imegoma kuuzika..
Yaan mim mwenyewe najiuliza hiyo Gari ya Ipilimo ina matatizo gani? Ama ina ubovu ambao humu jukwaan hatak kuusema ndo maana Gari ina muda mrefu! Tueleze ukweli ipilimo hiyo Gari haina tatizo? Na je unakubali malipo ya installment?
 
Yaan mim mwenyewe najiuliza hiyo Gari ya Ipilimo ina matatizo gani? Ama ina ubovu ambao humu jukwaan hatak kuusema ndo maana Gari ina muda mrefu! Tueleze ukweli ipilimo hiyo Gari haina tatizo? Na je unakubali malipo ya installment?

Wandugu...siwezi kuichinja kwasababu Bado ni gari yenye umuhimu kimatumizi....sio kwamba nimeichoka....hapana , inatembea, naihudumia na inanihudumia pia bila tatizo. tena safari fupi na ndefu...Ninapo uza ninakuwa nina michakato yangu tu...inapokosa kununuliwa ni kwamba watu wanao itaka gari hii wanakuwa mbali na mbeya na bei yao inakuwa chini mno kiasi kwamba kwa jinsi ilivyo huwa naona Hailipi bora ibaki, Ingekuwa mimi naichukia au ya hovyo ningeshachinja au kuiachia hata kwa 1m.....Si mnajua mambo ya biashara? PIA tatizo WATEJA wengi ni wapenzi na wajuvi wa Toyota tu...hizi zetu wanaona msamiati....ila kwangu mimi sijaona tatizo kuimiliki tangu nilipoinunua 2012., matatizo ni ya kawaida kama ilivyo ktk gari zote....na yanatabika.
 
Back
Top Bottom