Naomba mwenye kujua wapi naweza kupata cover za hz simu redmi note 7 au redmi 10x pro 5g kwa hapa dar au hata nje ya dar maana nimetafuta hadi bas asee[emoji17]
Mcheki jamaa anajiita highlifeTz alikuwa na account whatsapp, facebook na telegram ,alishawahi niuzia kava ya xiaomi kipindi cha nyuma ila sijui kama bado anaziuza. Kipindi kile alikuwa anapatkana upanga-DSM,namba yake hii 👉0717233555.
Mcheki jamaa anajiita highlifeTz alikuwa na account whatsapp, facebook na telegram ,alishawahi niuzia kava ya xiaomi kipindi cha nyuma ila sijui kama bado anaziuza. Kipindi kile alikuwa anapatkana upanga-DSM,namba yake hii [emoji117]0717233555.