Nahitaji container la futi 40

Nahitaji container la futi 40

Loveeness78

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2016
Posts
280
Reaction score
294
Habari zenu wakuu.
Naombeni kujua bei ya conteina la futi 40 kwa hapa Dar. Kama kuna mtu analo au anamjua mtu yeyote Mwenye nalo na anauza naomba nisaidiwe kupata namna ya mawasiliano ili niweza kununua.
Natanguliza shukrani.
 
Yupo jamaa anauza container za feet 40 unazohitaji wewe,
moja anauza milioni 4.8Tsh. nipm nikuunganishe naye au acha namba ya simu.
 
Deal ikiwa done mtulete mrejesho humu maana biashara za kontena ni kizungumkuti

Ova
 
Habari zenu wakuu.
Naombeni kujua bei ya conteina la futi 40 kwa hapa Dar. Kama kuna mtu analo au anamjua mtu yeyote Mwenye nalo na anauza naomba nisaidiwe kupata namna ya mawasiliano ili niweza kununua.
Natanguliza shukrani.
4.5-5m unapata.....
 
Nenda MSC Mediterranean Shipping kurasini wanaziuza hakuna longolongo, ila hizi za mtaani kizungumkuti sana.
 
Back
Top Bottom