Wadau naishi Wilayani pembezoni kidogo na naona mahitaji ya huduma bora ya internet kwa vijana wetu na wananchi kwa ajili ya mawasiliano ya TEHAMA.
Kwa wadau na wajasiliamali wazuri wa kuuza computer used au mpya zenye performance nzuri na capacity,memory na processor ya kukidhi haja naomba tufanye biashara hiyo bila kukosa.
Kiwango cha chini cha computer full set kinachohitajika ni tano (5).Kwa hivi sasa nipo DAR hivyo kuhakiki mzigo ni rahis sana.
Naomba kila mwenye kufanya biadhara hiyo aweke specification za computer hizo kabla ya kutaka kuja kuziona.
UJASIRIAMALI KWA MAISHA BORA YA VIJANA.
Wadau naishi Wilayani pembezoni kidogo na naona mahitaji ya huduma bora ya internet kwa vijana wetu na wananchi kwa ajili ya mawasiliano ya TEHAMA.
Kwa wadau na wajasiliamali wazuri wa kuuza computer used au mpya zenye performance nzuri na capacity,memory na processor ya kukidhi haja naomba tufanye biashara hiyo bila kukosa.
Kiwango cha chini cha computer full set kinachohitajika ni tano (5).Kwa hivi sasa nipo DAR hivyo kuhakiki mzigo ni rahis sana.
Naomba kila mwenye kufanya biadhara hiyo aweke specification za computer hizo kabla ya kutaka kuja kuziona.
UJASIRIAMALI KWA MAISHA BORA YA VIJANA.
Uko wilaya gani? Kama hautapata hapa JF sema nikuelekeze sehemu utapat kwa bei nzuri tu.
Mkuu kama huna Haraka after few days kabla ya Tarehe 30 May ztakuja HP computer 2GB ram, 80HDD, Processor kuanzia 2.4 na kuendelea. ikiwa full yani Keyboard, Mouth na monitor ya nchi 17, kwa hizo 5, nitakuuzia kwa 320,000/= kila moja
Wadau naishi Wilayani pembezoni kidogo na naona mahitaji ya huduma bora ya internet kwa vijana wetu na wananchi kwa ajili ya mawasiliano ya TEHAMA.
Kwa wadau na wajasiliamali wazuri wa kuuza computer used au mpya zenye performance nzuri na capacity,memory na processor ya kukidhi haja naomba tufanye biashara hiyo bila kukosa.
Kiwango cha chini cha computer full set kinachohitajika ni tano (5).Kwa hivi sasa nipo DAR hivyo kuhakiki mzigo ni rahis sana.
Naomba kila mwenye kufanya biadhara hiyo aweke specification za computer hizo kabla ya kutaka kuja kuziona.
UJASIRIAMALI KWA MAISHA BORA YA VIJANA.
Suppose utahitaji reliable Internet solution, mimi ni dealer wa VSAT satellite Internet services. Bei zetu ni za chini kuliko satellite ISP yeyote mwingine hapa TZ na tuna coverage maeneo yote ya east africa
alphonce@alphonce.net
0767659145, 0787659145
Nipe mawasiliano yako mkuu.nafikri tunaweza kutrade off kwa jambo ilo.
Mnafunga wireless maofisini..!?
Ndio KRISTIAN, Actually tunafanya indoor and outdoor (Long distance) wireless networking using WiFi and WiMax technologies
Ndio KRISTIAN, Actually tunafanya indoor and outdoor (Long distance) wireless networking using WiFi and WiMax technologies
Suppose utahitaji reliable Internet solution, mimi ni dealer wa VSAT satellite Internet services. Bei zetu ni za chini kuliko satellite ISP yeyote mwingine hapa TZ na tuna coverage maeneo yote ya east africa
alphonce@alphonce.net
0767659145, 0787659145
Poa kaka ofisini zenu zipo wapi
Mkuu kama bei zenu ni bora weka hapa tupime wenyewe.
Mkuu hebu naomba nidadavulie zaidi kuhusu hii huduma yenu....na unaposema ni cheap zaidi hapo una maanisha kitu gani. Hebu naomba maelekezo ya kina zaidi, haswa nichukulie ni kama mteja ambaye nataka kujua taratibu zote za kupata huduma yenu pamoja na gharama zake