Nahitaji chumba, single self Njiro, Arusha

Nahitaji chumba, single self Njiro, Arusha

miss naire

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
237
Reaction score
228
nahitaji chumba kimoja na choo ndani , single self maeneo ya njiro arusha, bei iwe ni kati ya elfu 50 mpaka laki moja, mwenye kufahamu nijulishe
 
nahitaji chumba kimoja na choo ndani , single self maeneo ya njiro arusha, bei iwe ni kati ya elfu 50 mpaka laki moja, mwenye kufahamu nijulishe

njoo nikupe changu..but ni 150k..
hii bei yako ya 50k_100k labda njiro kwa Lema au kwa Msola respectively
 
njoo nikupe changu..but ni 150k..
hii bei yako ya 50k_100k labda njiro kwa Lema au kwa Msola respectively
hata kama ni kwa msola poa tu, maananafanya kazi njiro hvyo usafir utakuwa gari moja tofauti na ninapo kaa kwa sasa napanda magari mawili
 
Vp ukipata kikwakwaru B karbia na msitu wa nyuki
 
Nataka kiwanja njiro maeneo ya kikwakwaro ukubwa iwe 15m kwa 20m.kitakua bei gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom