Nahitaji chumba cha kupanga Dar.

Nahitaji chumba cha kupanga Dar.

Ochutz

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2011
Posts
465
Reaction score
106
Mambo ni aje wadau?
Aisee nahitaji msaada wenu,natafuta chumba(self) ikiwa na sebure itakuwa poa zaidi. Nahitaji maeneo ya Tabata,Mbezi ya Moro road,hata kibamba. Ninao uwezo wa kulipia miezi sita sita. Madalali changamkieni hii dili,ni PM ukitaja eneo pamoja na price yake.

Pamoja sana.
 
Aaah. Sisi wabongo tukitikiswa kidogo tu wepesi kuhama njia, ona huyu nae. Nan kasema kuwa dalali ni dhambi.
 
kunijua lazima unijue si nam mega yule dada ako aliyekuachia ziwa....

duuu,huyu mtafuta chumba mkali kweli,kumbuka kuwa kuna wenye nyumba humu ndani kwa tabia hiyo wanaweza wakathubutu kweli?
 
hata mm natafuta cha kimasikini yaan cha 25e kwa mwez.....maeneo ya mandela road na morogoro road. Kiwe na umeme
 
Mpangaji mtata sana,utamsumbua bibi kulipa pango!! Chumba kipo ila sikupi.
 
Mambo ni aje wadau?
Aisee nahitaji msaada wenu,natafuta chumba(self) ikiwa na sebure itakuwa poa zaidi. Nahitaji maeneo ya Tabata,Mbezi ya Moro road,hata kibamba. Ninao uwezo wa kulipia miezi sita sita. Madalali changamkieni hii dili,ni PM ukitaja eneo pamoja na price yake.

Pamoja sana.

kucha chumba na sebule Temboni mita mia hamsini toka Morogoro road. Ceiling na tiles mpya. maji 24/7
umeme 24/7
kuna fensi na geti la nguvu.
ni p.m kukiona au mawasiliano zaidi.
WEWE NI ME AU KE ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom