toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,626
Wakuu nahitaji chumba. Anayepangisha vyumba maeneo haya tafadhali naomba tuwasiliane.
Au hata:
-Anayejua chumba maeneo ya Mabibo hostel, Sinza, Changanyikeni,Survey,Makongo juu,Ubungo External, Mwenge na River Side. Budget yangu ni 30k au 40k au 50k kwa mwezi.
Ningepata penye wapangaji wasiozidi wanne ningefurahi pia. Ndo naanza maisha mwenzenu.
Nicheki kwa namba: 0759 432 654 SMS, WhatsApp pia
Natanguliza shukurani
Au hata:
-Anayejua chumba maeneo ya Mabibo hostel, Sinza, Changanyikeni,Survey,Makongo juu,Ubungo External, Mwenge na River Side. Budget yangu ni 30k au 40k au 50k kwa mwezi.
Ningepata penye wapangaji wasiozidi wanne ningefurahi pia. Ndo naanza maisha mwenzenu.
Nicheki kwa namba: 0759 432 654 SMS, WhatsApp pia
Natanguliza shukurani