cashbonnie
Member
- Jun 23, 2012
- 12
- 4
Mambo vp wadau. Msaada wa wapi ambapo naweza kupara machine ya kuchanganyia cement na mchanga kwa ajili ya kufyatulia matofali.
Mambo vp wadau. Msaada wa wapi ambapo naweza kupara machine ya kuchanganyia cement na mchanga kwa ajili ya kufyatulia matofali.
Mi pia nipo Dom.Usije ukaingia mkenge kununua ready made.Nitafute nikulengeshe Dar,kuna fundi mzuri sana wa Vibrator na mixer.Yeye hutumia plate za meli,huzipata bandarini.Akikutengenezea mashine unasahau maintenance.Mimi pia nina kiwanda,Ni Pm nitakuelekezaNiko Dodoma wazee
Shukrani sana kaka. Ntakuja kwako nipate muongozo mzuriMi pia nipo Dom.Usije ukaingia mkenge kununua ready made.Nitafute nikulengeshe Dar,kuna fundi mzuri sana wa Vibrator na mixer.Yeye hutumia plate za meli,huzipata bandarini.Akikutengenezea mashine unasahau maintenance.Mimi pia nina kiwanda,Ni Pm nitakuelekeza
Shukrani sana kaka. Ntakuja kwako nipate muongozo mzuri
Unauza tofali bei gani dodomaNiko Dodoma wazee