Mkuu kwa majibu hayo hata kama ulikuwa uko very serious,hakika huyo binti unayemuhitaji umeshampa mashaka na maswali tele ya kujiuliza juu ya uadilifu wako,kama mume mwenyewe mtarajiwa cyber jokes zinamtoa katika mstali ataweza kweli changamoto nzito za maisha ya mahusiano?Yaan hapo kwa waelewa wanakuwa wameshajua rangi yako halisi.matako yenu mlocoment usenge