saimon amos
Member
- Dec 31, 2018
- 16
- 7
Naomben mnisaidie balo la viatu vya mtumba grade A nakuendelea linapatikana kwa shingapi
Nipo dar es salaam maeneo ya tegeta
Nipo dar es salaam maeneo ya tegeta
Mtoa mada kaniambia Anaomba msamaha kakaUko Dar unashindwa kweli kwenda kuuliza kwa wanao yauza? Kiongozi mafanikio sio lele mama. Toka kakudanye taarumifa sahihi. Acha kila kitu kutegemea watu wakufanyie.
Nilijua uko Mtwara kumbe uko Dar?
Acha mambo ya kimama basi, kwani umelazimishwa uje hapa kutoa majibu?Uko Dar unashindwa kweli kwenda kuuliza kwa wanao yauza? Kiongozi mafanikio sio lele mama. Toka kakudanye taarumifa sahihi. Acha kila kitu kutegemea watu wakufanyie.
Nilijua uko Mtwara kumbe uko Dar?
Hata mimi nigemjibu ka MURUSI.Acha mambo ya kimama basi, kwani umelazimishwa uje hapa kutoa majibu?
Hapo ukute kabisa eti na wewe ni mwanaume na Pumbu zako mbili kabisa zinaning'inia.
Kama hauna majibu siku nyingine tuliza tundu.
Basi hata wewe ni MaviHata mimi nigemjibu ka MURUSI.




Sure much,kuna kukaa dar na kuna kukalishwa darMashukuruni kwa mawazo yenu aimanishi Kaka dar ndo kujua Kila kitu Kuna watu Wana kaa dar ubungo awapajui niliuliza kwa maana pindi napotaka kutoka kufwata mzigo nijue natoka na kiasi gan
Ila asanten kwa mawazo![]()
SlopeUko Dar unashindwa kweli kwenda kuuliza kwa wanao yauza? Kiongozi mafanikio sio lele mama. Toka kakudanye taarumifa sahihi. Acha kila kitu kutegemea watu wakufanyie.
Nilijua uko Mtwara kumbe uko Dar?