Yani hii nchi mtaendelea kuwa maskini mpaka makaburini mwenu kutakuwa na dhiki, nilitarajia kuulizwa huko wapi tufanye biashara ila ni mijilawama ya ajabu, okay ngoja niwalahisishie, hapa nilipo zinauzwa tsh 13000 na kuna maeneo zinauzwa bei niliyoiweka hapo, so kama kuna mtu yupo willing hata container nitaagiza ili kuwauzia hata hawa wanaouza bei ya juu. Usikurupuke kuchangia hoja ambayo unaona mchango wako ni equal to zero. Ushauri tu.
Yani hii nchi mtaendelea kuwa maskini mpaka makaburini mwenu kutakuwa na dhiki, nilitarajia kuulizwa huko wapi tufanye biashara ila ni mijilawama ya ajabu, okay ngoja niwalahisishie, hapa nilipo zinauzwa tsh 13000 na kuna maeneo zinauzwa bei niliyoiweka hapo, so kama kuna mtu yupo willing hata container nitaagiza ili kuwauzia hata hawa wanaouza bei ya juu. Usikurupuke kuchangia hoja ambayo unaona mchango wako ni equal to zero. Ushauri tu.
Uko ??
Mkuu mwenge A4 ream elfu 13 au sio mwenge ya Dar ?, sasa mikoani itakuwa ngapi ?, tafuta huko huko dar Mkuu karibu yako, dar ndio cheapest kuliko mikoani, na kama mtu yupo dar na alipo anauza elfu 9 au 8 by the time anachoma mafuta na kukufikia huenda atakuwa keshatumia kama buku 10 nyinginenaishi mwenge....
Mkuu mwenge A4 ream elfu 13 au sio mwenge ya Dar ?, sasa mikoani itakuwa ngapi ?, tafuta huko huko dar Mkuu karibu yako, dar ndio cheapest kuliko mikoani, na kama mtu yupo dar na alipo anauza elfu 9 au 8 by the time anachoma mafuta na kukufikia huenda atakuwa keshatumia kama buku 10 nyingine