Azoge Ze Blind Baga
JF-Expert Member
- Mar 8, 2019
- 455
- 1,729
Bila salaaam
Niende moja kwa moja kwenye mada
Mwaka jana nilikua na binti flani katika mahusiano. Tulidumu kwa miezi 8 nikampiga chini baada ya kuona ananiletea mapenzi ya kifilipino
Binti alikua ananipa sana papuchi kila nlipomhitaji alikua anakuja. Ila sasa kutokana na kumaliza kwake degree akaanza kuniletea yalee mapenzi ya kichuo chuo yani ukorea mwingi.
Sasa mimi suala la kubembeleza bembeleza kwangu siliwezi nikampiga chini.
Sasa tangu nimempiga chini yule manzi kila ninapogusa napigwa nyundo nzito hadi sasa nimekua single na kununua malaya kwa kweli mi siwezi.
Kwa situation ninayokutana nayo baada ya kuachana na yule demu naona kabisa kaniachia gundu maana sio kwa kukataliwa huku na mademu.
NB: Hela ninazo ila mimi sio boya kuanza kuhonga ovyo ovyo ili demu anikubalie. Najua kuna mijitu hapa itakuja kusema tafuta hela. Hela ninazo ila sio za kugawa gawa ovyo kwa wanawake!!! .
Nifanyaje
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Niende moja kwa moja kwenye mada
Mwaka jana nilikua na binti flani katika mahusiano. Tulidumu kwa miezi 8 nikampiga chini baada ya kuona ananiletea mapenzi ya kifilipino
Binti alikua ananipa sana papuchi kila nlipomhitaji alikua anakuja. Ila sasa kutokana na kumaliza kwake degree akaanza kuniletea yalee mapenzi ya kichuo chuo yani ukorea mwingi.
Sasa mimi suala la kubembeleza bembeleza kwangu siliwezi nikampiga chini.
Sasa tangu nimempiga chini yule manzi kila ninapogusa napigwa nyundo nzito hadi sasa nimekua single na kununua malaya kwa kweli mi siwezi.
Kwa situation ninayokutana nayo baada ya kuachana na yule demu naona kabisa kaniachia gundu maana sio kwa kukataliwa huku na mademu.
NB: Hela ninazo ila mimi sio boya kuanza kuhonga ovyo ovyo ili demu anikubalie. Najua kuna mijitu hapa itakuja kusema tafuta hela. Hela ninazo ila sio za kugawa gawa ovyo kwa wanawake!!! .
Nifanyaje
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
