Nahisi sina bahati

Nahisi sina bahati

kasuagatz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2021
Posts
288
Reaction score
358
Habari za jumamosi wana JF, kisa changu kipo hivi mtani kwangu ninapo ishi kuna familia ambao ni majirani zangu.

Sasa hawa majirani kuna wadada ambao ni dada mtu ma mdogo mtu wote wanalipa tu ila niliamua ku focus kwa mdogo mtu.

Sasa huyu mdogo mtu nilimfungukia ya moyoni akanikataa nimesha weka mpaka mitego kadhaa anakula tu visenti vyangu ila naishia kuhudumia tu bila kupewa hata kisi. Ananinyima papuchi ila wengine wanapewa bila hata kutoa chochote nina ushahidi kuna wana wanajilia ila mimi nahisi sina bahati.

Nimejaribu pia kurudisha majeshi kwa dada mtu naye anaishia kunipiga vizinga tu na utamu anaishia kunipa ahadi tu nipo njia panda nishaurini yawezekana sina bahati au shida nini.
 
Habari za jumamosi wana jf kisa chqngu kipo hivi mtani kwangu ninapo ishi kuna familia amabao ni majirani zangu.
Sasa hawa majirani kuna wadada amabao ji dada mtu ma mdogo mtu wote wanalipa tu ila niliamua ku focus kwa mdogo mtu.
Sasa huyu mdogo mtu nilimfungukia ya moyoni akanikataa nimesha weka mpaka mitego kadhaa anakula tu visenti vyangu ila naishia kuhudumia tu bila kupewa hata kisi. Ananinyima papuchi ila wengine wanapewa bila hata kutoa chochote nina ushahidi kuna wana wanajilia ila mimi nahisi sina bahati.
Nimejaribu pia kurudisha majeshi kwa dada mtu naye anaishia kunipiga vizinga tu na utamu anaishia kunipa ahadi tu nipo njia panda nishaurini yawezekana sina bahati au shida nini
achana na ao mademu alafu kuwa na akili za kiutu uzima
 
"Don't chase women and they will start to chase you"

"STOP BEING A NEEDY"
Mwanamke ukishampa attention yako basi anajua kabisa wewe ni weak na unapoteza mvuto kwake

Sasa Cha kufanya wewe achana nao fanya Mambo yako halafu wao uwafanye kama kitu Cha ziada yaan unamtafuta pale unapojisikia cyo kila saa unahangaika nao wanakuona unajibaraguza kwao

Najua huna namba nyingi za wanawake ndo maana unahangaika na hao tu.....Sasa nikushauri tafuta hata namba kumi za mademu hao hata Kama huwagongi Ila unatakiwa uwe na namba za mademu unaoongea nao mara kwa mara ili mtu mmoja asikupe stress na kujiona huna bahati
 
"Don't chase women and they will start to chase you"

"STOP BEING A NEEDY"
Mwanamke ukishampa attention yako basi anajua kabisa wewe ni weak na unapoteza mvuto kwake

Sasa Cha kufanya wewe achana nao fanya Mambo yako halafu wao uwafanye kama kitu Cha ziada yaan unamtafuta pale unapojisikia cyo kila saa unahangaika nao wanakuona unajibaraguza kwao

Najua huna namba nyingi za wanawake ndo maana unahangaika na hao tu.....Sasa nikushauri tafuta hata namba kumi za mademu hao hata Kama huwagongi Ila unatakiwa uwe na namba za mademu unaoongea nao mara kwa mara ili mtu mmoja asikupe stress na kujiona huna bahati
Shukurani kaka
 
Pole sana
Usiombe mwanamke aone hufai na kama kakuzidi akili. aisee utajua ujui, mnakuaga na dharau sana.
mtu anataka mapenz, unajua kabisa penzi hatopata ila bado unamzengua weee na kumrusha roho huku unachuna kisela 😃😀
 
Usiombe mwanamke aone hufai na kama kakuzidi akili. aisee utajua ujui, mnakuaga na dharau sana.
mtu anataka mapenz, unajua kabisa penzi hatopata ila bado unamzengua weee na kumrusha roho huku unachuna kisela 😃😀
Ndo maisha
 
Back
Top Bottom