Nahisi simridhishi katika mapenzi

Nahisi simridhishi katika mapenzi

Mkupa94

Member
Joined
Feb 13, 2015
Posts
24
Reaction score
2
Jamani msichana wa kwangu amejaliwa maumbile makubwa(kike) sasa na mimi ndo vile nchi 3, yani naona kama simpatii japo anadai anaridhika lakini nina wasiwasi.

Wadau niambieni cha kufanya kabla mambo hayajaharibika
 
dah kwanza pole sana ngoja wataalam waje wakupe mbinu za kujingezea
 
Hebu kazana na masomo
wewe triple k
 
Ivi Unaandika Cri Badala Ya Siri... Hebu Nipeni Muongozo Kwa Wale Wa NECTA
 
Huyu anayetumia X badala ya S sidhani kama kafika umri wa kupiga kura.

Weng wenu humu mna tatizo la kukarir hvo si makosa yenu ukiona 94 unajua nmezaliwa mwaka huo utasubr sana.
 
Jitahidi kumwandaa kwa muda mrefu na kumpiga style tofauti utamridhisha hata kama unakibamia
 
Jaman wa kwang amejalia maumbile makubwa(kike) xaxa na mimi ndo vle nch 3,yan naona kama cmpatii japo anadai anardhka lakn nina waswas.wadau niambien cha kufanya kabla mambo hayajaharbka.

Naona unataka kuanzisha tatizo sasa kwa kutafuta vitu ambavyo havipo, amekuambia safi lakini wewe hujiamini matokeo yake utadevelop tatizo na kuwa MROMBO shauri yako, usisikilize story za vijiweni kwani kiasili kila mwanaume mbele ya watu hasa vijana hujifanya fundi na kukupa STANDARD za juu za kugegedana ambazo ni wachache wanazifikia.

Wewe jiulize mbona mambo mengi binadamu tunatofautiana ajabu hatushangai (mfano mwingine anakimbia sana, mwingine anakula sana, mwingine anaongea sana, mwingine anabeba mizigo mizito), lakini likija kwenye issue ya kugegedana watu mnataka muwe sawa na unaona kwanini sipigi mfululizo saa zima kama flani kitu ambacho kila mtu ana mwili wake (USITENGENEZE TATIZO LINGINE KWA NAMNA HII UNAWEZA UKASHANGAA UKAANZA KUSHUKA KIWANGO TARATIBU)
 
Naona unataka kuanzisha tatizo sasa kwa kutafuta vitu ambavyo havipo, amekuambia safi lakini wewe hujiamini matokeo yake utadevelop tatizo na kuwa MROMBO shauri yako, usisikilize story za vijiweni kwani kiasili kila mwanaume mbele ya watu hasa vijana hujifanya fundi na kukupa STANDARD za juu za kugegedana ambazo ni wachache wanazifikia.

Wewe jiulize mbona mambo mengi binadamu tunatofautiana ajabu hatushangai (mfano mwingine anakimbia sana, mwingine anakula sana, mwingine anaongea sana, mwingine anabeba mizigo mizito), lakini likija kwenye issue ya kugegedana watu mnataka muwe sawa na unaona kwanini sipigi mfululizo saa zima kama flani kitu ambacho kila mtu ana mwili wake (USITENGENEZE TATIZO LINGINE KWA NAMNA HII UNAWEZA UKASHANGAA UKAANZA KUSHUKA KIWANGO TARATIBU)

Mungu akupe maisha marefu axante kwa maneno yako ya busara na ushaur ulioenda chuo kikuu.nmekupenda bure.
 
Back
Top Bottom