Nahisi simpendi mke wangu

Mmeshawahi kuzungumza kuhusu kutengana??
Labda kutenganan kwa mwaka hivi...ili kujiangalia upya??
 
Ww ndo mwenye matatizo!!!! Kama mke wako hakupendi husingekuwa nae, kuna vitu viwili; either ulimtesa sana wakati unamchumbi au ulimuonyesha kuwa una wapenz nje ndo maana alikuchukia, kama ulivyosema kuwa kazi zako ni za nje huenda ulikuwa na vichenchele huko, au hukuwahi kwenda naye huko ulikokuwa ukifanya kazi hivyo imani yake kwako ilipotea, yaani kuna kitu ulikifanya sio bure, na kwa nn ulikuwa ukipima ukimwi eti kumuakikishia kama ulikuwa wajiamini?????? Huenda mwenzetu unachepuka sana, Sikushauri umuache kwakuwa umeshazaa nae, na ana watoto wako tena wakiume usije kufa mpweke, maana hao watoto once wakikuwa wanaweza kukubadilikia, Muonyeshe upendo mke wako jaribu kumsahaurisha yaliyopita, atabadilika maana wanawake ni dhaifu sana. ZINGATIA
 
Sasa wewe ushasema ni mama wa nyumbani unategemea nini...
Mama wa nyumbani huwa wakati mwingi humuhisi mumewe anachepuka sababu yeye yupo nyumbani hana la kufanya / yupo free..Hivyo anataka akikusms umjibu wkt ule ule hajui kuwa wewe wkt mwingine upo busy
...Anataka akikupigia cm upokee...sababu yeye haoni unachokifanya kazini hajui pengine wkati mwingine upo na wageni au boss au ktika mazingira ambayo huwezi pokea cm..Basi yeye huhisi anaibiwa tuuu...
Kingine mama wa nyumbani upeo wa kufikiri hupungua kwani yeye huzungukwa na watu wa mitaani tuu wanaobaki wkt wengine wameenda makazini so ni umbea tuu, au yeye ni kukaa tuu hakuna anachokiwazaa zaidi ya mawwazo machafu machafu na mawazo ya mapenzi tuu..

Uliyataka so uyanywe..Usimuache vumilia..ila pole sana...mpeleke akasome kidogo ubongo upanuke huoo..




 

Hilo la shule nilijaribu akaacha, nikamwambia achague fani nimpeleke VETA ili akimaliza nimfungulie ofisi awe msimamizi, bado akakataa. Kuna rafiki yangu kamfungulia duka mke wake Kariakoo akanishauri tuwakutanishe wake zetu ili na mke wangu nifungulie biashara kama hiyo ili ikiwezekana wawe wanasafiri pamoja, lakini kakataa.
 
Tatizo la mke wako ni moja tu, hana kinachomkeep busy. mfungulie biashara...yooote yataisha. idle mind is the workshop of the devil. naakikaa na idle minds wengine ndo wanamjaza upumbavuuu!!
 
ehhh basi huyo anataka roho yakooo:faint:




 
Unashindwa nini kuachana na huyo mwanamke mazima??
 
Duh pole sana na hongera kwa kuwa mvumilivu. But mwenye last decision ni ww hata kama watu milion wakikushauri haitasaidia kitu. Fanya maamuz sahihi ambayo unafikir hayatakudhuru. Kwa mazingira hayo unayoishi na mkeo upo at risk position. Amani ni kitu cha msingi sana ktk maisha. Sasa kama mkeo ana tabia hizo unafikiri ni nn hatima ya maisha yako? Tafuta mstakabali wa watoto wako...then fanya maamuzi sahihi
 

kila kitu anapinga? kwahiyo hata ukimwambia muachane bado atapinga? maana ushauri wangu ni muachane, akipinga na hilo la kuachana basi muache wewe
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…