Binafsi yangu naomba nikuulize maswali yafuatayo;
1.je,umesha au ulikuwa na uhusiano wowote wa kimapenzi na binti wa huyo mama?
2.ilisha toke siku yoyote huko nyuma kumuahidi huyo mama ya kuwa utamuoa binti yake hata kama ni kwa utani?
3.Mahusiano yako na huyo mama ukiachana na biashara yakoje au yalikuwaje na kwainin ulimpa yeye kipaumbele sana badala ya ndugu zako wa karibu?
4.Na uhalali wa mali zako hizo ukoje,hii nikitilia maanani ya kuwa je ulirithishwa,ulitumia ndumbaa,ulisha wahi kudhulumu au kula viapo fulani kwa minajili ya kupata hizo mali?
5.wazazi wako au ndugu wa karibu wako wapi na umewashirikisha vipi au kwa kiasi gani katika hili?
JARIBU KUYATAFAKARI MASWALI HAYA ALAFU UTAPATA PICHA FULANI...KISHA CONNECT DOTS SASA KUONA TATIZO LIKO WAPI
MUNGU NA AKUPIGANIE KATIKA JINA LA YESU KRISTO.BARIKIWA.