Pessimist.Usimwamini mwanasiasa,hapo kuna kitu wamelenga kikitimia tunarudi tulikotoka
Leo magari ya UDART yalikuja kwa wakati na kwa wingi kiasi kwamba japo tulijaa lakini sio kama siku za nyuma.
Nahisi kuna mabadiliko kwenye uongozi.
Umekopa neno la Dr Shika basi sawa itapendezaNi mapema sana kuwasifia mkuu wape muda kidogo ITAPENDEZA
Mameneja muda wote wako Manzese wanakula supu ya utumbo kwa mama ntilie. Hapakua na mtu wa kuona kasoro. Mida ya rush hour jioni tayari walikua wamelewa kangara. Dengerua na chibukuKama management wangejiwekea utaratibu wa kuwa vituoni kutazama hali halisi ya usafiri na hata kusafiri na hayo mabasi naamini mambo yangekuwa safi
USIWAAMINI UDA ni wanafiki wanaonuka!Leo magari ya UDART yalikuja kwa wakati na kwa wingi kiasi kwamba japo tulijaa lakini sio kama siku za nyuma.
Nahisi kuna mabadiliko kwenye uongozi.
Nilihisi kuna kitu. Sio bure. Kukuta Kimara watu wanaingia kwenye magari kiungwana. Sasa kama kuna kamchezo. Tumshikie bango kiongozi wa Dart humu humu mpaka atumbukeUSIWAAMINI UDA ni wanafiki wanaonuka!
leo kulikuwa na ugeni wa RWANDA walikuja kujifunza mrad unavoendeshwa! aibu tupu mpaka waje wagen ndo mfanye kaz!
mna laana za kujaza watu kama magunia ya mahnd wakat magar mnaficha yadi
Nadhan mgwasa ametemwa..nimeona wana CEO muhaya mwingine sijui Rwakatare something like that! Mgwasa amekaa kipigaji sana..Konyagi nako..mmhh...!Ina maana Mgwasa alikuwa hafai?
Aisee..., kwahiyo wamemwaga magari ili ionekane huduma ni nzuri mbele ya wanyaRwanda sio? It seems wanafanya hivyo ili ku-cut down expenses na ku-maximize profit na ndio maana wanaficha magari yard..USIWAAMINI UDA ni wanafiki wanaonuka!
leo kulikuwa na ugeni wa RWANDA walikuja kujifunza mrad unavoendeshwa! aibu tupu mpaka waje wagen ndo mfanye kaz!
mna laana za kujaza watu kama magunia ya mahnd wakat magar mnaficha yadi
hilo neno! wanaleta utani sana na afya na maisha ya watuNilihisi kuna kitu. Sio bure. Kukuta Kimara watu wanaingia kwenye magari kiungwana. Sasa kama kuna kamchezo. Tumshikie bango kiongozi wa Dart humu humu mpaka atumbuke
serikali ni kama wanafurahia hyo hali, kwa kuwa wanatumia gari zenye viyoyoz hawana shdaAisee..., kwahiyo wamemwaga magari ili ionekane huduma ni nzuri mbele ya wanyaRwanda sio? It seems wanafanya hivyo ili ku-cut down expenses na ku-maximize profit na ndio maana wanaficha magari yard..
Amesemema LEO... kwa hiyo si tusubiri tuone kama wata-maintainNi mapema sana kuwasifia mkuu wape muda kidogo ITAPENDEZA
Mgwassa anafaa sana tatizo pale usukuma ulizidi wamemtimua pia kuganda na kumleta DEO ambae ni mtupu kabisa kichwani, hii imetokea Leo kwa vile wanyarwanda wamekuja. Kuna vimjamaa kutoka izrael eti wanakuja kua TO kweli tumefikia hapoIna maana Mgwasa alikuwa hafai?