wida
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 247
- 40
Samahani wana jamvi,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, nipo na mpenzi wangu kwa mda wa miaka mitatu sasa tulianza mahusiano tangu tupo o-level, kiukwel nampenda, mnamo mwezi ulopita alinibadilikia ghafla.
Nilijitahidi kumuuliza kwa kutumia simu ya rafiki yangu kwani laini zangu kazifungia binafsi niliumia kwa hali hiyo ila nilipo muuliza sababu akajibu nilimwambia kila mtu awe kivyake.
Niliwaza ni mda gani nilitamka kauli hiyo, hadi sasa bado kafungia laini zangu kiukweli bado nampenda ila sifahamu nini nifanye awe kama zamani kwani bado nampenda.
Kutokana na vishawish nikapiga simu kwa mganga flani huko mkoani na akanijibu;
MGANGA: Kiukweli bado huyo mwanamke anakupenda na unauwezo wa kumrudisha
Binafsi naogopa kwani mapenzi ya dawa haya dumu, naombeni ushauri ndugu zangu kwani bado nampenda, nilijaribu kumsau ila nimeshindwa kwa mazoea.
Naombeni ushauri msinitukane wala kejeli
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, nipo na mpenzi wangu kwa mda wa miaka mitatu sasa tulianza mahusiano tangu tupo o-level, kiukwel nampenda, mnamo mwezi ulopita alinibadilikia ghafla.
Nilijitahidi kumuuliza kwa kutumia simu ya rafiki yangu kwani laini zangu kazifungia binafsi niliumia kwa hali hiyo ila nilipo muuliza sababu akajibu nilimwambia kila mtu awe kivyake.
Niliwaza ni mda gani nilitamka kauli hiyo, hadi sasa bado kafungia laini zangu kiukweli bado nampenda ila sifahamu nini nifanye awe kama zamani kwani bado nampenda.
Kutokana na vishawish nikapiga simu kwa mganga flani huko mkoani na akanijibu;
MGANGA: Kiukweli bado huyo mwanamke anakupenda na unauwezo wa kumrudisha
Binafsi naogopa kwani mapenzi ya dawa haya dumu, naombeni ushauri ndugu zangu kwani bado nampenda, nilijaribu kumsau ila nimeshindwa kwa mazoea.
Naombeni ushauri msinitukane wala kejeli