Nimekua ni kifuatilia mbio za u rais ndani ya ccm. Nimekuja kubaini mzee Lowasa anaonewa sana na baadhi ya viongozi wa chama.
Anatupiwa lawama Eti ameanza kampeni kabla ya wakati; Eti anatumia makanisa na misikiti kuusaka u rais na kwamba anatumia fedha katika harakati hizo.
Kinachonisumbua kwanini yeye tu?
Mbona Mzee Sitta, Sumaye, Makamba nk nao tumewaona makanisani wakifanya shughuli kama anazofanya mzee Lowasa huko ila kwao viongozi wa chama wanaona sawa tu.
Eti kaanza kampeni mapema ina maana kweli chama hawajui Wasira, Membe, Ngeleja, Makamba Sitta nk wao wanachofanya ni nini? Wao hawasemwi kwanini?
Kuhusu matumizi ya Fedha mbona tumesikia wote niliowataja hapo juu wakituma salaam zinazoambatana na mapesa Kwa wajumbe wa ccm.
Ningefurahi kama chama kinataka kushughulika na hili kiwe fair enough Kwa wote isiwe Kwa Lowasa tu! Wanaotoa matamko nitawaheshimu Iwapo watakua wakweli Kwa watanzania Kwa kueleza bayana wapo wengi wameanza kampeni mapema, wanatumia makanisa/misikiti na wanatumia fedha sana tu.
Vinginevyo Lowasa anaonewa!
Anatupiwa lawama Eti ameanza kampeni kabla ya wakati; Eti anatumia makanisa na misikiti kuusaka u rais na kwamba anatumia fedha katika harakati hizo.
Kinachonisumbua kwanini yeye tu?
Mbona Mzee Sitta, Sumaye, Makamba nk nao tumewaona makanisani wakifanya shughuli kama anazofanya mzee Lowasa huko ila kwao viongozi wa chama wanaona sawa tu.
Eti kaanza kampeni mapema ina maana kweli chama hawajui Wasira, Membe, Ngeleja, Makamba Sitta nk wao wanachofanya ni nini? Wao hawasemwi kwanini?
Kuhusu matumizi ya Fedha mbona tumesikia wote niliowataja hapo juu wakituma salaam zinazoambatana na mapesa Kwa wajumbe wa ccm.
Ningefurahi kama chama kinataka kushughulika na hili kiwe fair enough Kwa wote isiwe Kwa Lowasa tu! Wanaotoa matamko nitawaheshimu Iwapo watakua wakweli Kwa watanzania Kwa kueleza bayana wapo wengi wameanza kampeni mapema, wanatumia makanisa/misikiti na wanatumia fedha sana tu.
Vinginevyo Lowasa anaonewa!