mkubhi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 2,216
- 3,319
Eti kwenda kuvamia kituo cha clouds ni habari za mitandaoni!!!
Unasema ni habari za mitandaoni, Mitandaoni watu wamevamiwa!?!?
Hivi clouds media wameipokeaje kauli ya rais!?!?
Hivi rais amepungukiwa nini ili tuingie kwenye mafungo rasimi ya kuweza kumsaidia!?!!?
Kauli ya rais kwa kweli imeninyanyasa sana na nahisi kupoteza uzalendo kwa nchi yangu!!
Eeehh MUNGU wangu uko wapi haya hauyaoni!?!?
Unasema ni habari za mitandaoni, Mitandaoni watu wamevamiwa!?!?
Hivi clouds media wameipokeaje kauli ya rais!?!?
Hivi rais amepungukiwa nini ili tuingie kwenye mafungo rasimi ya kuweza kumsaidia!?!!?
Kauli ya rais kwa kweli imeninyanyasa sana na nahisi kupoteza uzalendo kwa nchi yangu!!
Eeehh MUNGU wangu uko wapi haya hauyaoni!?!?