SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Natangaza nia ya kugombea Jimbo la Longido (Arusha) 2015, kupitia CHADEMA maana Mbunge aliyepo hakuna kitu anafanya si maji, shule, wala bara bara. Wadau naomba support yenu
Tuwapime muda wa kupima ukifika, huzuiwi kutangaza nia, wala jimbo si mali ya millya,etc
Tuwapime muda wa kupima ukifika, huzuiwi kutangaza nia, wala jimbo si mali ya millya,etc