Vikao vya Harusi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 512
- 140
Baada ya matokeo ya Kalenga kutoka,sijaona papara papara nilizozoea kuona baada ya uchaguzi,watu wamekubali yameisha!
Baada ya matokeo ya Kalenga kutoka,sijaona papara papara nilizozoea kuona baada ya uchaguzi,watu wamekubali yameisha!
MAJIBU SAHIHI
--------------------
Jibu ni kuboreshwa kwa Daftali la wapiga kura tuu.
Leo ni mabibi ndio yamepiga kura kalenga sasa unafikili maCCM yangefeli kweli....
Makamanda piganieni maboresho ya daftali sasa chaguzi hizi, kwa mjini kama chalinze tutashinda tu ata kwa daftali hili.
Mungu bariki Tanzania
Mungu bariki Tendega for 2015
MAJIBU SAHIHI
--------------------
Jibu ni kuboreshwa kwa Daftali la wapiga kura tuu.
Leo ni mabibi ndio yamepiga kura kalenga sasa unafikili maCCM yangefeli kweli....
Makamanda piganieni maboresho ya daftali sasa chaguzi hizi, kwa mjini kama chalinze tutashinda tu ata kwa daftali hili.
Mungu bariki Tanzania
Mungu bariki Tendega for 2015
Hii ilkuwa jana, kabla ya matokeo.MAJIBU SAHIHI
--------------------
Jibu ni kuboreshwa kwa Daftali la wapiga kura tuu.
Leo ni mabibi ndio yamepiga kura kalenga sasa unafikili maCCM yangefeli kweli....
Makamanda piganieni maboresho ya daftali sasa chaguzi hizi, kwa mjini kama chalinze tutashinda tu ata kwa daftali hili.
Mungu bariki Tanzania
Mungu bariki Tendega for 2015
By Imma Saro
Kalenga leo itaandikwa historia. Itakuwa historia ya pekee kwao na Taifa kwa ujumla. Historia ya kukataa kutawaliwa na CCM na kukubali kuongozwa na CHADEMA. Historia ya kukataa kuomba huduma zao za kikatiba na Kudai. Wataandika historia ya kumkataa mwana wa mfalme na kuamua kuongozwa na Mama Mlezi Grace!. Wameelewa maana ya Grace. Naam! Wataamua kuichagua CHADEMA na kuikataa CCM.
Mungu ibariki CHADEMA
Mungu ibariki Kalenga
Mungu ibariki Tanzania
J.R.Selasini,
MB. Rombo -Chadema.
Kwa mtindo huu tusitegemee mapya 2015,daftari la upigaji kura ni jangaMAJIBU SAHIHI
--------------------
Jibu ni kuboreshwa kwa Daftali la wapiga kura tuu.
Leo ni mabibi ndio yamepiga kura kalenga sasa unafikili maCCM yangefeli kweli....
Makamanda piganieni maboresho ya daftali sasa chaguzi hizi, kwa mjini kama chalinze tutashinda tu ata kwa daftali hili.
Mungu bariki Tanzania
Mungu bariki Tendega for 2015
Unawaita wapiga kura mabibi? Hivi una adabu kweli?
Huna heshima kuita watu "Mabibi yamepiga kura"