Yako Atta
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 288
- 467
Una negative attitude mkuu.....posts zako na mada zako zmekaa negative mno....ushawah leta mada ya mabasi mabovu na ukayataja paspo kujua impact ya kibiashara kwa ulioqashutumu....unakuja kukoment mapema mwanzon kabsa mwa uzi kana kwamba mleta uzi n tapeli.....kwa nn usijipe muda ukasoma posts na maswal watakayouliza members kisha ukachek respons ya mtoa mada....ndipo ujiridhishe kuwa n utapeli au n real business!!Karibuni tuwatapeli. Xmas imefika ikiwa Na nduguzo January, ada za watoto, uniforms Na uchakavu wa December havijatuacha salama. Karibuni wateja typone
Mitandao ya kijamii n sehemu ya kutafuta fursa na channels...sio sehem ya porojo tu....chek fikra zako zisiwe n za kuharibu zaid kuliko kunenga ....jifunze kuwa na subra sio kila kitu n lazima uchangie!!