Nafikiria usaliti waliofanyiwa 'Hawa Ghasia na Kessy', hawa watu wawekwe chini ya uangalizi maalum wasije kujidhuru

Unamwonea huruma mwanasiasa? Tena wa chama tawala? Kweli?
hqdefault.jpg
 
Tena Kessy alikuwa kiherehere sana, anaweza kufa kwa pressure
Kumbe hamjamjua Magufuli ehe? Hawa atawapa vyeo vingine. Hamkusikia anasema kila siku vyeo vya kugawa viko vingin na watu wanaoachwa wasiwe na wasiwasi! Otherwise iwe ana visasi nao ndiyo atawaacha. nchi imefikia pabaya sana sasa hivi... rais ndiye anaamua nani awe mbunge na wapi... rais ndiye mgawaji mkuu wa fedha za maendeleo.. nk...
 
WATANZANIA TUJIANDAE KWA MAISHA MAGUMU KUPITA KIASI ...TUNAENDA KUONDOLEWA RASMI KWENYE DUNIA YA KISTAARABU AMBAYO TULIKUWA NA NDOTO YA KUIFIKIWA NA KUWEKWA KUNDI MOJA NA NCHI ZA HOVYO DUNIANI ...ZISIZOKUWA NA USTAARABU ...

MFANO HUWEZI KUSEMA KISIWA KAMA PEMBA UNASHINDA NA SIO STRONG HOLD ...DYNAMIC YA SIASA IKO HIVYO HAKUNA CHAMA DUNIANI KINAWEZA KUKUBALIKA SEHEMU ZOTE KWENYE NCHI ....BALI DEMOKRASIA HUWA INATAKA MAJORITY ...ALICHOKUWA ANALAZIMISHA JPM NI KUTAKA KUSHINDA KWA NGUVU HADI KWENYE MAENEO AMBAYO CCM HAINA USHAWISHI ..NA KUSAHAU UKWELI KUWA HIYO NDIO SIASA HUWEZI KUPENDWA KILA MAHALI HATA UWE MALAIKA
Ameturudisha nyuma enzi za maisha ya kifalme. Wafalme ndiyo walikuwa na nguvu namna hii aliyo nayo sasa. Hata Nyerere wakati wa chama kimoja alikuwa haingilii matakwa ya wapiga kura kama huyu. Kuna marafiki wengi tu wa Nyerere walikuwa wanagombea ubunge na kuanguka bila yeye kulazimisha wachaguliwe.
 
Hakuna kitu kinauma duniani kama kujeuzwa mbuzi wa kafara.

Walichofanyiwa Kessy na Ghasia huenda kikawa kichomi kimoja kibaya sana kwenye maisha yao yaliobaki hapa duniani.

"Kwanini mimi? Kwanini mimi? Yaani ina maana sina thamani kiasi hicho mpaka wanitose mimi baharini? Yaani kati ya viti zaidi ya mia mbili, wameona mimi ndo sina maana?"

Amini nakuambieni, hakuna jambo linaloumiza mwanadamu hapa duaniani kama kuanza kujiuliza "Kwanini mimi, na sio wengine?"

Kutolewa kafara ni pigo kubwa sana la kuumiza nafsi.

Nashauri Hawa Ghasia na Kessy, wawekwe chini ya uangalizi maalum wasije kujidhuru.

Pamoja na kwamba watanzania wengi tumeumizwa na huu uchaguzi, ila navofikiri kuvaa viatu vya wabunge hawa wawili na wengine wachache wa CCM wataotolewa kafara, nabaki kujifariji kwamba 'matatizo ya binadamu ni mzunguko, yasipokutokea leo yatakutokea tu siki moja kwa namna tofauti'
Watakosa pa kupumulia. Maana walikuwa wanawapa wabunge wa upinzani tips ili wazitushe hewani. Sasa ventilations chembers zote zimeshazibwa watakufa kwa kikosa hewa
 
Back
Top Bottom