mudy92
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 671
- 535
Wana jamvi nimekuwa mfuatiliaji sana wa moderm war apparatus! nikawa mdadisi khs MISSILE! nadhani nikipata msaada wa elimu ya KOMPYUTA (SOFTWARE) na UTENGENEZAJI VICHWA VYA SILAHA (WARHEAD) kwa technology bora.
Tunaweza kuwa na missile kama B-40 na AIR DEFENCE SYSTEM kama BUK MISSILE ya urusi....
strong ARMY for strong TANZANIA...
Tunaweza kuwa na missile kama B-40 na AIR DEFENCE SYSTEM kama BUK MISSILE ya urusi....
strong ARMY for strong TANZANIA...