Ntangilege
Member
- Aug 4, 2013
- 25
- 3
Habarini wapendwa yeyote mwenye up date kuhusu zile nafasi za tra
Habarini wapendwa yeyote mwenye up date kuhusu zile nafasi za tra
Kwanza waliongeza mda wa kufanya application from 20 to 27 so deadline line bado!!!
Kuwa serious
Habarini wapendwa yeyote mwenye up date kuhusu zile nafasi za tra
Tukumbushane wana jf kama deadline bado nafasi gani walizitangaza? Kama kuna mtu anahiyo advert naomba anirushie
Habarini wapendwa yeyote mwenye up date kuhusu zile nafasi za tra
Mtatuita au tutaitwa mbona tunafundishana uogaMuda ukifika 2tawaita.