Mtemi02
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 320
- 221
Ni suala la muda tu. Ila kila kitu tayari kiko sawa na kinachosubiriwa ni muda tu.
Wanasiasa wawili vijana ndani ya chama tayari wako kwenye rada za mwenyekiti. Moja kati yao inaitwa usiyempenda kaja.
Kama unavyojua viongozi wa chama wana nguvu kuliko viongozi wa serikali. Yani fikiria Polepole alivyokuwa akitembelea Mkoa fulani kuanzia RC, DCs, Wakurugenzi, Wabunge wote walikuwa lazima waoneshe uwepo wao mbele yake. Na ikiwezekana wanatoa maombi yao pale na akitoa maagizo hakuna mjadala.
Sasa hiyo nafasi anapewa Bro. PCM, hapo ndiyo picha linaanza upyaaa, ile ya DSM mbona chamtoto saaana.
Yani kama ulikuwa unakosa raha na amani wakati ule basi sasa hivi utaugua ugonjwa wa kushindwa kupumua
Mungu Ibariki Tanzania
Wanasiasa wawili vijana ndani ya chama tayari wako kwenye rada za mwenyekiti. Moja kati yao inaitwa usiyempenda kaja.
Kama unavyojua viongozi wa chama wana nguvu kuliko viongozi wa serikali. Yani fikiria Polepole alivyokuwa akitembelea Mkoa fulani kuanzia RC, DCs, Wakurugenzi, Wabunge wote walikuwa lazima waoneshe uwepo wao mbele yake. Na ikiwezekana wanatoa maombi yao pale na akitoa maagizo hakuna mjadala.
Sasa hiyo nafasi anapewa Bro. PCM, hapo ndiyo picha linaanza upyaaa, ile ya DSM mbona chamtoto saaana.
Yani kama ulikuwa unakosa raha na amani wakati ule basi sasa hivi utaugua ugonjwa wa kushindwa kupumua
Mungu Ibariki Tanzania