Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

PEACE ONE

Senior Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
143
Reaction score
47
Habari wana JF?

Jana asubuhi nilikuwa napita mitaa ya Ubungo kuna jamaa alikuwa anabandika matangazo ya kazi akanipatia nakala moja ambayo imeandikwa hivi:

KAZI KAZI

410,000/=

NA KWA SIKU UTALIPWA

UMRI: 18 - 29

UFAFANUZI
PIGA:

O782-156727
0656-111800
0654-809461
0753-809661
0719-618423
0715-746962

USIBEEP WALA KUTUMA SMS HAZITAJIBIWA.

Wadau hawa jamaa wako serious? au makanjanja watakaowapigia watupe majibu.
 
Habari wana JF?

Jana asubuhi nilikuwa napita mitaa ya Ubungo kuna jamaa alikuwa anabandika matangazo ya kazi akanipatia nakala moja ambayo imeandikwa hivi:

KAZI KAZI

410,000/=

NA KWA SIKU UTALIPWA

UMRI: 18 - 29

UFAFANUZI
PIGA:

O782-156727
0656-111800
0654-809461
0753-809661
0719-618423
0715-746962

USIBEEP WALA KUTUMA SMS HAZITAJIBIWA.

Wadau hawa jamaa wako serious? au makanjanja watakaowapigia watupe majibu.

mimi nilishapewa tangazo la TBL kama dizaini hiyo, mara nyingi huwa ni uzushi wa matapeli
 
Mara nyingi hao wanatoa kazi za kuwafanyia promotion ya bidhaa zao.
 
Kwa hyo kila aliyewapigia aende na 2000/- ya fomu. Kwa nn wasitoe detailz za hyo kazi kwa simu.
 
hao watu wapo na ni makampuni ya kuuza mabeseni na dawa za meno..ukienda utabebeshwa mabeseni majagi na majaba utembeze mtaa kwa mtaa hawajali una elimu gani.....ahahahaaaaaaaa....ajira ajira....usisahau kwenda na mamranga ya kimasai maana kiatu kitaisha kwa kupuyanga.....
 
Kama ni kuuza mabeseni hamna haja ya kwenda maanake hao wauzaji wa hizo bidhaa wengi hawajatoka kimaisha zaidi ya kukonda na kupoteza afya.
 
Hawa jamaa kila mara wanatengeneza matangazo mapya na wana muda mrefu sana toka waanze mchezo huo. Na kila tangazo wanaweka mishahara tofauti. Pia huwez kusoma form yao mpaka utoe hiyo 2000.
 
Kama ni kuuza mabeseni hamna haja ya kwenda maanake hao wauzaji wa hizo bidhaa wengi hawajatoka kimaisha zaidi ya kukonda na kupoteza afya.

Wale wanaivaaga tai zisizoendana na nguo walizovaa, tai imekaa upande wamechoka choka hivi
 
Back
Top Bottom