Habari wana JF?
Jana asubuhi nilikuwa napita mitaa ya Ubungo kuna jamaa alikuwa anabandika matangazo ya kazi akanipatia nakala moja ambayo imeandikwa hivi:
KAZI KAZI
410,000/=
NA KWA SIKU UTALIPWA
UMRI: 18 - 29
UFAFANUZI
PIGA:
O782-156727
0656-111800
0654-809461
0753-809661
0719-618423
0715-746962
USIBEEP WALA KUTUMA SMS HAZITAJIBIWA.
Wadau hawa jamaa wako serious? au makanjanja watakaowapigia watupe majibu.
Jana asubuhi nilikuwa napita mitaa ya Ubungo kuna jamaa alikuwa anabandika matangazo ya kazi akanipatia nakala moja ambayo imeandikwa hivi:
KAZI KAZI
410,000/=
NA KWA SIKU UTALIPWA
UMRI: 18 - 29
UFAFANUZI
PIGA:
O782-156727
0656-111800
0654-809461
0753-809661
0719-618423
0715-746962
USIBEEP WALA KUTUMA SMS HAZITAJIBIWA.
Wadau hawa jamaa wako serious? au makanjanja watakaowapigia watupe majibu.