Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

Kaunga

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2010
Posts
12,529
Reaction score
13,501
Umemaliza kidato cha nne na huna cha kufanya?
Ni kijana mwenye miaka 20 hadi 40?
Unakaa Dar es Salaam au una mpango wa kuhamia hivi punde?
Njoo ukue pamoja na kampuni inayokua kwa kasi AYSY Growth Enterprises.
Wana nafasi 7 za vijana wa kiume na 8 za wanawake.

Andika email kuelezea wasifu wako tuma kwenda kwa
glorytarimo@hotmail.com
Au piga simu kwa maelezo zaidi 0682 191 596
Deadline ni 20 February 2015
 
Kaunga weka wazi Job Description isije ukawabebesha wenzako madeli ya icecream bora wajue mapema kuliko waende internet cafe watoa buku buku zao.

Kubeba madeli ya ice cream nayo ni kazi pia. Kwa muda kuna kazi za kawaida na hazihitaji special qualification kwani watatoa mafunzo ya kumuiequip mtu na kazi hiyo.
Baadaye ndio nafasi kama za watu wa marketing, proffessional nurses zitatangazwa.

Kwa muda ni uwezo wa kusoma kuandika, kufanya kazi ulizopangiwa unatosha.
 
Last edited by a moderator:
Umemaliza kidato cha nne na huna cha kufanya?
Ni kijana mwenye miaka 20 hadi 40?
Unakaa Dar es Salaam au una mpango wa kuhamia hivi punde?
Njoo ukue pamoja na kampuni inayokua kwa kasi AYSY Growth Enterprises.
Wana nafasi 7 za vijana wa kiume na 8 za wanawake.

Andika email kuelezea wasifu wako tuma kwenda kwa
glorytarimo@hotmail.com
Au piga simu kwa maelezo zaidi 0682 191 596
Deadline ni 20 February 2015

Mm npo dar kama vp nieleoeze nije saiz
 
Kama hamjabebeshwa vyombo kitaa???

Wape basi wewe white collar job?
Muache dharau mmeokoa sh ngapi za usafiri na muda kwa kununua vyombo kwa wanaobeba mtaani?
 
mm siku moja niliombaga kz kumbe bwana ya kutembeza vyombo nikaambia nifike kesho yake nikiwa smart duh sikurudi hata kidunchu,, habr za kutiwa hamu ya kitu then unakuta ni shubiri sasa si bora utembeze dagaa za kukaanga za kutoka mwanza ambazo zinafaida kubwa unaweka hela mfukoni mwako kuliko kuzurulishwa na mtu anafaidika yeye
 
Wape basi wewe white collar job?
Muache dharau mmeokoa sh ngapi za usafiri na muda kwa kununua vyombo kwa wanaobeba mtaani?

Kumbe ndo yenyewe, sasa c uwaambie tuu kuwa kazi ndo hio, unaficha nini sasa????
 
Ndiyo kazinikazibora mkonouende kinsman. Lakini ni mhimu kuiweka wazihiyokaziunayoitangaza ni ya Aina gain?
 
Nataka bt ni vzul kujua ni aina gan coz ni mala nying 2naweka mahope kibao kwenda na shauku kubwa bt ukfika unasema ni heli ningekula mihogo naul angu kwa na niii...kuwa muwazi watu wajiamulie kwenda ama kutokwenda
 
Nataka bt ni vzul kujua ni aina gan coz ni mala nying 2naweka mahope kibao kwenda na shauku kubwa bt ukfika unasema ni heli ningekula mihogo naul angu kwa mama niii...kuwa muwazi watu wajiamulie kwenda ama kutokwenda
 
hizo nadhani ni za kutembeza bidhaa mitaani na kwenye mabasi. abiria wakiwa kimya nyie ndo mnaanza kujieleza kuwa mimi ni fulani
 
Back
Top Bottom