Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

Twande

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2009
Posts
543
Reaction score
174
Nahitaji wafanyakazi kazi inahusiana na customer service? kuuza duka na zingine utaelezwa baada ya interview, kigezo kikubwa uaminifu, kujua mahesabu, shule ni an added advantage, umri vijana mpaka mtu mzima aliyestaafu lakini yuko friendly kufanya nae kazi, i mean sio kuja kuwa mzazi, ahsante, nipm kwa ajili ya mawasiliano au kunipa namba za simu za muhusika.
 
Sasa tuje kwenye interview bila kujua hata JD!?
 
acha ubabaishaji weka aina zote za kazi hapa pamoja na qualification zake then ndo utatafutwa we wa wapi?!
 
Nahitaji wafanyakazi kazi inahusiana na customer service? kuuza duka na zingine utaelezwa baada ya interview, kigezo kikubwa uaminifu, kujua mahesabu, shule ni an added advantage, umri vijana mpaka mtu mzima aliyestaafu lakini yuko friendly kufanya nae kazi, i mean sio kuja kuwa mzazi, ahsante, nipm kwa ajili ya mawasiliano au kunipa namba za simu za muhusika.

0653358435 nitafute mimi nipo tayari kufanya kazi.
 
hizi kazi hizi watu wanaweka siri, sio kuuza bidhaa za promosheni?!
 
Back
Top Bottom