Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

Joined
Oct 8, 2017
Posts
7
Reaction score
2
Hellow wapendwa nilikuwa napenda kuwajulisha watu wote wanao hitaji ajira kuwa kuna hoteli inayo tarajiwa kufunguliwa maeneo ya karume complex kwa yeyote atakaye hitaji anitafute ili nimpe maelezo zaidi .asanteni
 
Hellow wapendwa nilikuwa napenda kuwajulisha watu wote wanao hitaji ajira kuwa kuna hoteli inayo tarajiwa kufunguliwa maeneo ya karume complex kwa yeyote atakaye hitaji anitafute ili nimpe maelezo zaidi .asanteni

Wewe leo una nini? Umeanzisha mwanzo uzi wa kutangaza nafasi ya Kazi katika Hotel na ukasisitiza kwamba unawahitaji mno Wanawake na hukuwa detailed Moderators ' wakaufyeka ' namaanisha ' wakaufuta ' na sasa hivi umekuja tena na uzi mpya ila ulichokibadilisha ni kwamba kwa sasa hivi hujasema kuwa unahitaji Wanawake kama ule uzi wako wa mwanzo. Nadhani utakuwa na matatizo makubwa ya ' Kisaikolojia ' Wewe.
 
Screenshot_20171020-114437.png
 
Wewe leo una nini? Umeanzisha mwanzo uzi wa kutangaza nafasi ya Kazi katika Hotel na ukasisitiza kwamba unawahitaji mno Wanawake na hukuwa detailed Moderators ' wakaufyeka ' namaanisha ' wakaufuta ' na sasa hivi umekuja tena na uzi mpya ila ulichokibadilisha ni kwamba kwa sasa hivi hujasema kuwa unahitaji Wanawake kama ule uzi wako wa mwanzo. Nadhani utakuwa na matatizo makubwa ya ' Kisaikolojia ' Wewe.
Kwa hivyo tukutafuiltie wap sasa?, kama hujaweka namba za simu wala barua pepe
 
Hellow wapendwa nilikuwa napenda kuwajulisha watu wote wanao hitaji ajira kuwa kuna hoteli inayo tarajiwa kufunguliwa maeneo ya karume complex kwa yeyote atakaye hitaji anitafute ili nimpe maelezo zaidi .asanteni
Nikutafute wapi?
 
Kuwa mwerevu toa full information uonrkane uko serious kama una utapeli unataka kuufanya kindly naomba ukapost IG na Facebook utawapata unaowataka uku linaweza likakutokea puani
 
Vyuma vimekaza kweli..

Huyu jamaa ana matangazo kibao ya kazi humu jf
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom