LENJENTZ
Member
- May 21, 2013
- 69
- 10
Kampuni ya LENJEN SECURITY iliyopo Mbezi Beach -Samaki, inatangaza nafasi za kazi ya ULINZI kwa watu wenye uzoefu, wenye mafunzo ya mgambo,elimu ya form four, utambulisho wa makazi na uraia, wadhamini wa karibu wawili ambatanisha picha, anuani na namba za simu za wadhamini, picha za mwombaji nzima na passport size.
Nafasi ni chache watakaoomba mapema watapewa vipaumbele.
Maombi yote yaletwe na waombaji, ghorofa ya kwanza Samaki Wabichi House, opp Shamo Towers Mbezi Beach Dar-es-salaam. Kwa mawasiliano piga simu zifuatazo,
0655 162466 na 0714 316800
Karibuni sana.
Nafasi ni chache watakaoomba mapema watapewa vipaumbele.
Maombi yote yaletwe na waombaji, ghorofa ya kwanza Samaki Wabichi House, opp Shamo Towers Mbezi Beach Dar-es-salaam. Kwa mawasiliano piga simu zifuatazo,
0655 162466 na 0714 316800
Karibuni sana.