Nafasi za kazi za accountants

Nafasi za kazi za accountants

Jitu jeusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
1,720
Reaction score
2,393
Apply mapema ndugu zangu
193ab956c280f6b8b07337fa75f6066c.jpg
 
Apply mapema ndugu zangu
193ab956c280f6b8b07337fa75f6066c.jpg

Asee hicho kizungu sasa kwenye tangazo!.."must hava" all applicants they supposed...tangazo linataka mhasibu halafu unaambia utume vyeti vya bachelor of arts...
.halafu unatuma kwenye email ya gmail...huu ni usanii wa waziwazi
 
Asee hicho kizungu sasa kwenye tangazo!.."must hava" all applicants they supposed...tangazo linataka mhasibu halafu unaambia utume vyeti vya bachelor of arts...
.halafu unatuma kwenye email ya gmail...huu ni usanii wa waziwazi
Kama una vigezo tuma tu mkuu.. Hivi vikazi vinavotangazwa kihasarahasara ndo vinakuwaga na pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asee hicho kizungu sasa kwenye tangazo!.."must hava" all applicants they supposed...tangazo linataka mhasibu halafu unaambia utume vyeti vya bachelor of arts...
.halafu unatuma kwenye email ya gmail...huu ni usanii wa waziwazi
Correction..
Bachelor of Accountancy Certificates..
Watu mnapenda kukosoa jmnnnm...
 
Anuani yao , ni IPI maana najaribu kuwaserch mtandaoni tzcpca, haipo. Ntapataje adres na JINA lao.
 
Anuani yao , ni IPI maana najaribu kuwaserch mtandaoni tzcpca, haipo. Ntapataje adres na JINA lao.

Ndugu hiyo sio address ya kampuni ni address ya mtu..ndio maana unaona email ya gmail hapo...kifupi tangazo limekaa kisanii sana halisemi kampuni ipo wapi hata address kamili ya kampuni hawataki kutoa!!..
 
Asee hicho kizungu sasa kwenye tangazo!.."must hava" all applicants they supposed...tangazo linataka mhasibu halafu unaambia utume vyeti vya bachelor of arts...
.halafu unatuma kwenye email ya gmail...huu ni usanii wa waziwazi
Halafu CPA wameandika C.P.A
ACCA wameandika A.C.C.A
 
Back
Top Bottom