Nafasi za kazi viwandani

Nafasi za kazi viwandani

Menapitatu

Senior Member
Joined
May 12, 2013
Posts
195
Reaction score
86
Wadau wa JF habari naleta kwenu ombi langu la mtu yeyote atakaeweza kunisaidia kupata kazi viwandani kwa hapa Dar, kazi iwe yoyote kiwanda chochote nifanye kazi kama kibarua
 
Nenda coral ukajaribu ila kwa siku ni elfu 6500 na chakula cha mchana bure,kuna kazi ya udereva,uchanganyaji rangi,ubebaji mizigo na usafirishaji na usambazaji kila kazi ina malipo yake.
 
Nenda coral ukajaribu ila kwa siku ni elfu 6500 na chakula cha mchana bure,kuna kazi ya udereva,uchanganyaji rangi,ubebaji mizigo na usafirishaji na usambazaji kila kazi ina malipo yake.

funguka mkuu, kiwanda kipo sehemu gani? Na mimi nahitaji
 
Hata mimi nahitaji ajira yyte ht ya kiwandani nmechoka kukaa mtaan maisha magumu mtaji wa biashara nao tatzo
 
Hata mimi naitaji kazi yoyote ile iliyo halali iwe kiwandani au popote tu...Namba Yangu Ni +255768683021
 
Samahanini kwanza. Mliichagua CCM tena au mlijaribu upande wa pili?

Wacha upimbi ww unakuwa Kama mwanmk watu wanatafuta kazi una leta upimbi wako chadem ndio wanaweza kuleta kazi kwa kila mtanzania .
 
uclete itkadi kwenye kaz kama una uwakka sema acha kzuga
 
Ila kazi za viwandani inahitaji uwe na moyo na si lelemama,kudumu kwako ktk kazi itategemea na bidii yako maana vibarua siku zote hawana gerentii ya kazi, kujuana kwingi,majungu kibao full ushemeji.
 
Oya hizo Job zinapatikana watu twende tukapige! aisee
 
Nenda coral ukajaribu ila kwa siku ni elfu 6500 na chakula cha mchana bure,kuna kazi ya udereva,uchanganyaji rangi,ubebaji mizigo na usafirishaji na usambazaji kila kazi ina malipo yake.

mkuu hapo coral paints kazi bado zipo?
 
hicho kiwanda cha color kinapatikana wapi tujuzeni basi ili tukautafute huo ugali
 
Wacha upimbi ww unakuwa Kama mwanmk watu wanatafuta kazi una leta upimbi wako chadem ndio wanaweza kuleta kazi kwa kila mtanzania .

sijaona mantiki ya wewe kumuongelea mwanamke ktk post hii. na ukumbuke kuwa mama yako pia ni mwanamke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom