Kidume cha mbegu
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 1,251
- 710
Habari zenu wadau wa jf
Nina mdogo wangu yuko mbeya wa kiume amemaliza chuo kikuu fani ya accounting , nilikuwa naomba kama kwa watu wowote wa mbeya ambao wanaweza kumsaidia kupata hata kibarua viwandan au kazi hata ya kujitolea mbeya katika viwanda au taasisi yoyote mbeya wanisaidie maana naona dogo anatia huruma sana , mimi mwenyewe najitahidi kumtafutia ,,hivyo basi atakaye fanikiwa kumpatia nafasi hata ya kibarua huko viwandani tampatia kitu fulani kama cha kunisaidia
kwa mawasilano
josephmaembe2015@gmail.com
Nina mdogo wangu yuko mbeya wa kiume amemaliza chuo kikuu fani ya accounting , nilikuwa naomba kama kwa watu wowote wa mbeya ambao wanaweza kumsaidia kupata hata kibarua viwandan au kazi hata ya kujitolea mbeya katika viwanda au taasisi yoyote mbeya wanisaidie maana naona dogo anatia huruma sana , mimi mwenyewe najitahidi kumtafutia ,,hivyo basi atakaye fanikiwa kumpatia nafasi hata ya kibarua huko viwandani tampatia kitu fulani kama cha kunisaidia
kwa mawasilano
josephmaembe2015@gmail.com