wewe andika umeona kupitia ajira.go.tz, ukisema JF wanaweza wakahisi wakikuajiri utawalipua.hizi nafasi zimetoka kwenye gazeti la serikali au bado nataka nijue refference nitaandika nimeona kwenye gazeti gani au through ajira.go.tz
Nimewasiliana na jamaa yangu yupo
Ebu naomba unipe namba ya jamaa yako thr 0769769249
Utumishi wametoa nafasi za kazi za kutosha, kwa wenye sifa ingia PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
1. Click hiyo link na itafunguka web page ya utumishiDuh!jana cjui ilikuwaje cjaingia hili jukwaa,halafu mbona naingia kwny hyo link sielewi elewi?
Msaada
Wakuu naomba mtuwekee hapa hzo post,wengne tuna simu za kichina na tupo huku namtumbo vijijini. Please do a favour us.
xii. WAAJIRI WOTE WALIOPO NJE YA DAR ES SALAAM WANAOMBWA
KUSAMBAZA MATANGAZO HAYA KWENYE MBAO ZA MATANGAZO NA
MAENEO MENGINE.
xiii.
Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 9 Aprili, 2013
xiv.
Aidha, uwasilishaji wa barua kwa mkono katika ofisi za Sekretarieti ya ajira
HAURUHUSIWI.
Ni kweli jana lilikuwa linasomeka deadline 9 March but naona wamerekebisha sasa ni 9 April ni typing error ukizingatia tupo mwezi March au cjui ndo mambo ya Pasaka ila wanapaswa kuwa makini sana!download tangazo la kingereza, wameandika deadline ni 9th march, bt itakuwa ni typing error tu
xi. Applicants who have/were retired from the Public Service for whatever reasonxiii. Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania
Commission for Universities (TCU)
xiv. Dead line for application is 9th March, 2013 at 3:30 p.m
xv. Applicants with special needs/case (disability) are supposed to indicate
1. Click hiyo link na itafunguka web page ya utumishi
2. UPande wa kushoto kuna files 2 moja wapo limeandikwa TANGAZO KISWAHILI March 2013 uta click unalolitaka
3. Litafunguka hilo file ambalo umelichagua, Chini kuna sehemu inakutaka U DOWLOAD, click hapo
4. Itatokea msg kukuuliza Do you want to open or save.... wewe utachagua open then litafunguka