Utumishi wametoa nafasi za kazi za kutosha, kwa wenye sifa ingia PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
mh hiyo deadline inanipa shaka....!
nikikosa hapa nina gundu siajiriwi tena interview kwa wale wenye uzoefu zinakuaga mwezi wa ngapi
Isikupe shaka mi nahic interview haitachukua muda mrefu baada ya deadline ndio maana hawajaweka muda mrefu sana hata kama wanataka kuchakachua au kama wana watu wao tayari kwa hii hapana kwani nafac ni nyingi sana jaribu ndugu yangu usikate tamaa ipo siku utakuja humu na kusema Yesu amekupa kazi!mh hiyo deadline inanipa shaka....!
mkubwa umetisha aisee nadhani wahusika wamekuelewaUtumishi wametoa nafasi za kazi za kutosha, kwa wenye sifa ingia PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS
Isikupe shaka mi nahic interview haitachukua muda mrefu baada ya deadline ndio maana hawajaweka muda mrefu sana hata kama wanataka kuchakachua au kama wana watu wao tayari kwa hii hapana kwani nafac ni nyingi sana jaribu ndugu yangu usikate tamaa ipo siku utakuja humu na kusema Yesu amekupa kazi!
ninachotaka mimi ni kuingia kwenye system tu haya mambo mbona ndugu zangu yatakwisha vinafasi vya kazi vikitokea tutajulishana tu hata kwa smsIsikupe shaka mi nahic interview haitachukua muda mrefu baada ya deadline ndio maana hawajaweka muda mrefu sana hata kama wanataka kuchakachua au kama wana watu wao tayari kwa hii hapana kwani nafac ni nyingi sana jaribu ndugu yangu usikate tamaa ipo siku utakuja humu na kusema Yesu amekupa kazi!
Kaka hapo ni wenye masters na ma phd na kazi nyingi ni re advertised buta jaribu bahati kuna moja nimeona hapo sekretari na uzoefu miaka kibao so wish u gud luck
mbona deadline tarehe 9 march..inakuaje apo?
aise wewe jamaa kazi yako ni kukatisha tamaa tu humu jf mbona kuna nafasi tena zinaitaji watu wengi na bila uzoefu hapo
xii. WAAJIRI WOTE WALIOPO NJE YA DAR ES SALAAM WANAOMBWAmbona deadline tarehe 9 march..inakuaje apo?
aise wewe jamaa kazi yako ni kukatisha tamaa tu humu jf mbona kuna nafasi tena zinaitaji watu wengi na bila uzoefu hapo
kwa nini naheshimu sana mawazo ya jamii member coz bnilitaka kutapeliwa kama sio angalizo la jf kuhusu appraisal hotel bagamoyo hofu yako ipo wapi
Nimewasiliana na jamaa yangu yupombona deadline tarehe 9 march..inakuaje apo?
Nimewasiliana na jamaa yangu yupo MOEVT nao wametoa nafac za kazi nikamuuliza kwa nini mmetupiga changa la macho mnatoa tangazo trh 26 March na deadline thr 9 March? akanijibu itakuwa ni makosa ya mchapaji hakuna kitu kama hicho kwani wao walipeleka matangazo tume ya ajira last week iweje deadline iwe hivyo? itakuwa ni makosa ya mwandishi na ni kwenye tangazo la kiingereza tu ndio wamekosea!