Nafasi za kazi-utafiti

Nafasi za kazi-utafiti

midas

New Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
4
Reaction score
1
MT EAST AFRICA Ltd tunatafuta graduates/ Form 6 leavers kwa ajili ya kufanya utafiti Tanzania. Tuma maombi pamoja na wasifu wako (CV) kwenye email midastea@gmail.com cc hearingtz@hotmail.com. Malipo Tsh20,000 kwa siku, posho (nauli na kujikimu).
 
MT EAST AFRICA Ltd tunatafuta graduates/ Form 6 leavers kwa ajili ya kufanya utafiti Tanzania. Tuma maombi pamoja na wasifu wako (CV) kwenye email midastea@gmail.com cc hearingtz@hotmail.com. Malipo Tsh20,000 kwa siku, posho (nauli na kujikimu).
Mkuu maelezo yako hayajajitosheleza, utafiti katika kada ipi na watu wa aina gani wanaohitajika? Funguka zaidi
 
UTAFITI inajitosheleza kwa maana ya watu watakaofanya data collection kwa jina lingine (research assistants) namba niache mengine kwenye mabano ili wenye sifa watume maombi tutafanyia kazi
 
ujumbe ufikie wengi tuwape watanzania nafasi za kazi
 
MT EAST AFRICA Ltd tunatafuta graduates/ Form 6 leavers kwa ajili ya kufanya utafiti Tanzania. Tuma maombi pamoja na wasifu wako (CV) kwenye email midastea@gmail.com cc hearingtz@hotmail.com. Malipo Tsh20,000 kwa siku, posho (nauli na kujikimu).

Tuambia na gharama za training ili tuwape kabisa wadogo zetu waje nazo coz najua mwisho wa siku lazima mtaawambia walipie training
 
Tuambia na gharama za training ili tuwape kabisa wadogo zetu waje nazo coz najua mwisho wa siku lazima mtaawambia walipie training

Na kwa hizo mail! mkuu umepatia! Utafiti gani ambao hauwekwi bayana! kama ni wa kitabibu na wa HGL waje!
Wonders will never end in mwigululand!
 
Jamani mbona mjomba hapo yuko clear. Mwenye nia atume CV yake kama hakyolifai hatakua shortlisted
Acheni wenye shida na ajira waombe kazi
 
MT EAST AFRICA Ltd tunatafuta graduates/ Form 6 leavers kwa ajili ya kufanya utafiti Tanzania. Tuma maombi pamoja na wasifu wako (CV) kwenye email midastea@gmail.com cc hearingtz@hotmail.com. Malipo Tsh20,000 kwa siku, posho (nauli na kujikimu).

Mkuu mbona kama email zipo mbili au hiyo nyingne ndo kama subject
 
Na kwa hizo mail! mkuu umepatia! Utafiti gani ambao hauwekwi bayana! kama ni wa kitabibu na wa HGL waje!
Wonders will never end in mwigululand!

mkubwa, kwenye nyekundu umenifurahisha mpaka nimeamsha waliolala du!
 
mkuu mbona kimya tushatuma sana hiyo maemail hata kutujulisha kama umepata? bless up!
 
Back
Top Bottom