usiwe mwepesi wa kukejeli , kama hauna msaada kwa mtoa mada ni busara ukikaa kimya//kama mtoa mada kasomea tax assesment in marine shipments au kasoma import and export bado unataka akaombe wizara ya kilimo??? je kwani tra hawakunyi kodi wizara ya kilimo, si akiwa tra ataisaidia pia wizara ya kilimo??acha kuwakejeli vijana .....