Nafasi za kazi tra.

[QUOTE=Kwann unachagua TRA na sio wizara ya Kilimo?!! ipende nchi yako sio ujijali wew tu..kuwa mzalendo



aaah acheni hizo kila mtu anahaki yakufanya kazi kutokana nauwezo wake na mapendeleo ndomaana hata kwenye kusoma kuna kuchagua course sasa yeye kasomea biashara na mambo ya economics ukampe ukulima na maendeleo sijui hiyo ni akili au matope halafu wewe ndo unae haribu mpangilio mzima sasa walio somea agricultural waendekufanya kazi wapi na econimist wameshachgukua nafasi zao come on use ur commosense
 

Wizara ya kilimo ni kejeli?.Unatisha sana

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…