Anaejua kazi zinatangazwa lini au watu wataitwa lini kwenye usaili au kutangaza kuita watu sio public relation officer, ni Human resources officer.
Pili unaweza kujua jambo linaendaje mahala flani hata bila kua mfanyakazi wa mahala hapo. Kua na inside information za mahala sio lazima uwe unafanya kazi hapo, ni network yako tu.
Tatu, mimi sio mfanyakazi wa TPDC na sijawahi kua. Ni eiza ukubaliane na nilichokiandika au usikubaliane nacho mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.