Nafasi za kazi TPA

Nafasi za kazi TPA

Huwa wanatangaza,Na interview watu wanafanya...Ila inakuwaga geresha mana wanakuwa tayari washaweka watu wao,tena saa nyingine Na kazi washaanza

Sio kweli acha kupotosha umma wa Watanzania.
 
Kulikoni TPA mnatangaza kwenye chombo kilichoshitakiwa mahakamani kwa sababu ya 'uhalali' wake!?
 
Alhamdullillah nimetuma tayari
Kaka umetumaje maana mi nimeshindwa kwenye kutengenrza CV kule sekretarieti ya ajira nimeishia 54% tu na wao wanataka 70% ili uweze kuapply lakin cha ajabu sioni hata sehemu moja niliyoacha
 
Kaka umetumaje maana mi nimeshindwa kwenye kutengenrza CV kule sekretarieti ya ajira nimeishia 54% tu na wao wanataka 70% ili uweze kuapply lakin cha ajabu sioni hata sehemu moja niliyoacha
mh kuna info ujajaza au una Cheti kimoja tu weka vyote
 
Back
Top Bottom