Jamii Opportunities
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,151
- 1,678
Kampuni ya usafirishaji ya Simba Logistics Limited Ltd (SLL) inawatangazia nafasi za kazi kwa madereva wa malori
NAFASI 75
Sifa za Mwombaji
NAFASI 75
Sifa za Mwombaji
- Awe amehitimu na kutunukiwa cheti halali cha kidato cha nne au cha sita(mwenye vigezo zaidi atapewa kipaumbele)
- Leseni halali ya Daraja E ambayo haijaisha muda wake
- Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving course) yanayotolewa na Chuo Cha Ufundi Stadi (VETA) au chuo kingine kinachotambuliwa na serikali
- Awe amehudhuria mafunzo ya uendeshajii malori ya mizigo (HDV/HGV Proffessional Driving) kutoka chuo cha NIT
- Waombaji wenye cheti cha majaribio ya Ufundii Daraja la II watafikiriwa kwanza
- Awe na uzoefu wa kuendesha malori aina zote (Pulling, Semi trealla, Itersem, Interlink nk)
- Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed CV) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika
- Awe na hati halali ya kitabu cha kusafiria (Passport Mpya ya Ki-Electroniki)
- Cheti cha kutokua na maksa yoyote ya jinai toka polisi (Police Clearance Certificate)
- Kadi ya chanjo ya homa (Vaccination Card)
- Awe na namba za simu yenye mawasiliano whatsapp muda wote na yenye uwezo wa kupiga picha nzuri
- Waombaji wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri kati ya miaka 30 – 45
- Aambatanishe cheti cha utumishi kutoka kwa mwajiri wa mwisho
- Tuma barua ya maombi iliyoandikwa kwa mkono na iambatanishe na picha ya mwombaji
- Maombi yaambatane na barua ya utambulisho wa serikali za mtaa
- Barua ya maombi iambatane na nakala ya vyeti vya taaluma na viambata tajwa hapo juu
- Nakala ya cheti cha kuzaliwa au kitambulisho cha uraia
- Maombi yote yawasilishwe kwa PDF kupitia email julia@simba-logistics.com nakala kwa Michael@simba-logistics.com au yaletwe kwa mkono katika ofisi zetu zilizopo Tabata Matumbi Plot 1000, Nelson Mandela Road Dar es Salaam
- Uwasilishwaji wa taarifa na sifa za kugushi wahusika watachukuliwa hatua
- Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 28 Mwezi Mei 2020 saa 10 Jioni