Kiongozi haya makampuni makubwa nowdayz yanatumia mifumo ya kompuyta (portal systems) kufanya recruitments na pia lazima uwe mwangalifu na makini zaidi kujaza taarifa zako kwenye hiyo mifumo...
Nenda ujaribu kufanya hivyo, ukishindwa huwa kuna namba za simu ambazo huwa ziko pale kwa ajili kutoa msaada..