Nafasi za kazi Restaurant & Bar

Nafasi za kazi Restaurant & Bar

ladybutterfly

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
215
Reaction score
59
Mgahawa unaitwa upcountry Kitchen taste upo mweka - Kilimanjaro , unatangaza nafasi za kazi kwa wahudumu na wapishi wa kike.

Waombaji wawe wakazi wa Kilimanjaro , awe msafi, anayejituma, anayejitambua, wenye uzoefu watapewa kipaumbele.

Maombi yatumwe kupitia whatsapp namba 0752808396 , ujumbe uelezee wasifu wa muombaji pamoja na picha yake full.
 
Salary scale tupeni, tusije gombana na watu
 
Huwa nashangaaga sana mtu anapotoa nafasi za kazi na kutaka picha ya mtu atume iwe ni moja kati ya sifa za kuajiriwa.😩😩,nyie waajiri mnaotaka picha Zan watu hivi huwa mnaajiri muonekano kama rangi,mattercall,urefu ama ufupi,,au mnaajiri mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi ipasavyo??

Huu ni upuuzi na usengejazibend.

Toa nafasi za kazi,ruhusu watu waonyeshe uwezo walionao vichwani ili kuweza kuikuza biashara yako.fanya interview na watu tambua uwezo wao wapi nafasi ili wakukuze kibiashara mwamba.😏😏😏
 
Huwa nashangaaga sana mtu anapotoa nafasi za kazi na kutaka picha ya mtu atume iwe ni moja kati ya sifa za kuajiriwa.😩😩,nyie waajiri mnaotaka picha Zan watu hivi huwa mnaajiri muonekano kama rangi,mattercall,urefu ama ufupi,,au mnaajiri mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi ipasavyo??

Huu ni upuuzi na usengejazibend.

Toa nafasi za kazi,ruhusu watu waonyeshe uwezo walionao vichwani ili kuweza kuikuza biashara yako.fanya interview na watu tambua uwezo wao wapi nafasi ili wakukuze kibiashara mwamba.😏😏😏
Wateja wanakula sehemu ya mgahawa wenye wahudumu ambao ni pisi kali.

NB:Hakuna pisi kali ambae ni mfupi wa kimo
 
Huwa nashangaaga sana mtu anapotoa nafasi za kazi na kutaka picha ya mtu atume iwe ni moja kati ya sifa za kuajiriwa.😩😩,nyie waajiri mnaotaka picha Zan watu hivi huwa mnaajiri muonekano kama rangi,mattercall,urefu ama ufupi,,au mnaajiri mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi ipasavyo??

Huu ni upuuzi na usengejazibend.

Toa nafasi za kazi,ruhusu watu waonyeshe uwezo walionao vichwani ili kuweza kuikuza biashara yako.fanya interview na watu tambua uwezo wao wapi nafasi ili wakukuze kibiashara mwamba.😏😏😏
Huu uduanzi ndio umeifanya Korea kusini iwe nchi inayoongoza kwa wasichana kufanya plastic surgery duniani.

Kama sio mrembo maisha yako hata uwe na elimu gani hutakuwa na career ya maana. Labda ukahudumie wazee wasiojiweza.

Ndio tunapoelekea na sisi.
 
Huu uduanzi ndio umeifanya Korea kusini iwe nchi inayoongoza kwa wasichana kufanya plastic surgery duniani.

Kama sio mrembo maisha yako hata uwe na elimu gani hutakuwa na career ya maana. Labda ukahudumie wazee wasiojiweza.

Ndio tunapoelekea na sisi.
Mkuu ndo dunia now iko hivo most beautiful, first served

NB:Mwenye Trako ako na confidence kuliko aliye na degree
 
IMG_20210518_162718.jpg
huyu je?
 
Huwa nashangaaga sana mtu anapotoa nafasi za kazi na kutaka picha ya mtu atume iwe ni moja kati ya sifa za kuajiriwa.,nyie waajiri mnaotaka picha Zan watu hivi huwa mnaajiri muonekano kama rangi,mattercall,urefu ama ufupi,,au mnaajiri mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi ipasavyo??

Huu ni upuuzi na usengejazibend.

Toa nafasi za kazi,ruhusu watu waonyeshe uwezo walionao vichwani ili kuweza kuikuza biashara yako.fanya interview na watu tambua uwezo wao wapi nafasi ili wakukuze kibiashara mwamba.
Kuna kazi ambazo muonekano ni muhimu sana
 
Huu uduanzi ndio umeifanya Korea kusini iwe nchi inayoongoza kwa wasichana kufanya plastic surgery duniani.

Kama sio mrembo maisha yako hata uwe na elimu gani hutakuwa na career ya maana. Labda ukahudumie wazee wasiojiweza.

Ndio tunapoelekea na sisi.
Najaribu kuwaza sana hizi plastic surgery zinazoendelea nchini 🇹🇿 baada ya miaka 10 na joto hili🥺🥺🥺
 
Najaribu kuwaza sana hizi plastic surgery zinazoendelea nchini 🇹🇿 baada ya miaka 10 na joto hili🥺🥺🥺
Huku kwetu kuna plastic surgeons kweli? Au ndio kuuana tu kabla ya muda. Asee bongo hamna plastic surgeons bana tusidanganyane.

Wadada mnachomwa sindano za silicon tu na makanjanja wa mjini.
 
Huku kwetu kuna plastic surgeons kweli? Au ndio kuuana tu kabla ya muda. Asee bongo hamna plastic surgeons bana tusidanganyane.

Wadada mnachomwa sindano za silicon tu na makanjanja wa mjini.
Hivi hao akina Muna,Irene na wengine wanafanyia wapi?inasikitisha mno
 
Hivi hao akina Muna,Irene na wengine wanafanyia wapi?inasikitisha mno
Hao wanafanya plastic surgery zao Turkey, the look of wema sepenga and now Masha love kaenda kufanya surgery ya matiti coz anaona yanamkosesha fursa za ajira kama hizi zinazotangazwa na muonekano mzuri ndio kinacho matter zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom