Nafasi za kazi PPF

Nafasi za kazi PPF

Kuna mtu yuko kwenye Taasisi fulani hapa Dar aliniambia kua wakishatanganza nafasi za kazi hua wanapokea applications kwa siku mbili au tatu tu . Then wana disturb system ili watu wasiendelee kutuma application zao kwa kua tayari wanakua wameshapokea applications za kutosha. Kwa hio tangazo likitoka omba fasta usisubirie deadline .
 
Kuna mtu yuko kwenye Taasisi fulani hapa Dar aliniambia kua wakishatanganza nafasi za kazi hua wanapokea applications kwa siku mbili au tatu tu . Then wana disturb system ili watu wasiendelee kutuma application zao kwa kua tayari wanakua wameshapokea applications za kutosha. Kwa hio tangazo likitoka omba fasta usisubirie deadline .

usidanganye mkuu mdogo wangu mwaka jana aliomba siku ya mwisho kutuma maombi lakin alipigiwa simu akahudhurie usaili pale UDSM
 
wachangiaji wote wako sawa,ingia ppf portal create account,then log in,mkono wa kushoto kuna vipengele amabavyo unatakiwa uvijaze then ukimaliza chini kuna kipengele kimeandikwa apply for job,click hapo utakutana na post zote,then click unayoitaji,utaambiwa uandike application letter na vyeti ktk pdf form then upload isizidi 5mb,ukifanikiwa watakwambia conglatulation your application is suscesfull...............KILA LAKHERI KWA WAOMBAJI
Habari zenu wanajamvii, mi nimeeka transcript vp kuna possibility ya kuitwa kwa interview?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom