Nafasi za kazi NECTA

Nafasi za kazi NECTA

Hollyman

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
283
Reaction score
77
Jaman mwenye tangazo la kaz baraza la mitihan atupie hapa nasikia lipo kwenye kazet la mwananch la leo tafadhal wengne tupo mbali
 
hizi post za leo walishatangaza utumishi wa umma na intervw tulifanyaga, kule mbezi juu uwanja wa baraza la mitihani. mwezi tano mwaka. Au waliopta kuendelea na oral hawakufanya vizur waliangukia pua?
 
hizi post za leo walishatangaza utumishi wa umma na intervw tulifanyaga, kule mbezi juu uwanja wa baraza la mitihani. mwezi tano mwaka. Au waliopta kuendelea na oral hawakufanya vizur waliangukia pua?

source mkuu
 
Necta wanataka lazima mtu awe amesoma education hata kwa diploma dah mbona wamebana sana
 
Mkuu naskia pale wengi ni walimu eti ni kweli pedeshee?? Ngoja niwatag walimu wenzako grafani11 geniveros Mkoroshokigoli
​Ni kweli kabisa mdau,kazi za NECTA huhitaji sana walimu,labda zile za IT,UHASIBU,ULINZI,UDEREVA ila wengi ni walimu,aidha wa kutoka mashuleni au wa kutoka wizarani.Na hata tangazo lao wamesema kabisaaaa wanataka walimu.
 
Duh sorry Kuna issue ilitaka Electrical Technician lkn Kuna Mtu kachukua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom